JAMII nchini imetakiwa kuitunza na kuielendeleza amani,kuwaombea dua, viongozi wa Taifa ili waweze kuongoza nchi kwa amani.

STATE HOUSE ZANZIBAR OFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE  Zanzibar                                                                                               25.06.2021 JAMII nchini imetakiwa kuitunza na kuielendeleza amani iliyopo na kuwaombea dua viongozi wa Taifa hili ili waweze kuongoza na kuiletea nchi maendeleo endelevu yenye kheri na tija. Akitoa neno la shukurani kwa niaba ya waumini wa Masjid Jamiu Zinjibar, Mazizini, Mkoa wa Mjini